Saa kumi jioni Wadhati anarejea kutoka shule Kisha akapata chakula, lakini siku hiyo alionekana kutokuwa mchangamfu na mwenyewe furaha Kama sikuzingine, "Nashindwa kuelewa nikwanini inakuwa hivi leo Ni siku ya tano. Kila nikimuangalia Joyce Moyo wangu hautulii mapigo ya moyo yanaenda tofauti, filigisi na maini tumboni havina ushirikiano kabisa nahisi kijasho Cha aina yake kinaniandama. Oh my God what is this?!.
Juzi mida ya jioni wakiwa discassion darasani, Joyce alikuwa amekaa vibaya bila kujitambua, Upaja wake mweupe ulikuwa ukipulizwa na upepo, vifungo vyake viwili vya Shati alikuwa kaviacha wazi akijipepea na reso yake, hivyo nyonyo zake zilizo simama ka embe dodo changa mtini zilkua zikionekana bila ya yeye kujua. Wape salamu zao mwali kigori mama niache kwanza, wooow! Kumbe hizi vitu zinakuwaga poah hivi, wadhati alisismka na kuanza kula kwa macho, alishindwa kabisa kujizuia na kuendelea kupiga chabo kwa Joyce, ili asigundulike akaamua kutumia sitairi ya kujinyoosha mikono juu ili aendelee kupiga chabo vizuri. Ghafla Joyce akamshitukia "Mh, mbona Wadhati anatazama Sana kwangu kulikoni? Alivojiangalia akagundua alikuwa amekaa vibaya Oh, sheet! Mh..mh..mh, kumbe ndiyo maana. akijisemea mwenyew huku akitikisa kichwa" Joyce akapandwa na hasira, Wadhati kwa aibu akatoka nje..
Duh! amegundua nilikuwa bize namchunguria mamaa eeh, ngoja misubiri madongo yanayofata hapa. Hiyo siku ikapita Wadhati hakuweza kabisa kurudi kwenye discassion darasani na kuamua kurudi nyumbani angalau ifutike ile aibu.
Wadhati alipokuwa nyumbani hiyo siku hakupata usingizi kabisa mwili wake ulikuwa ukisisimka sana. Palikucha asubuhi Wadhati akiwa bado anamuwaza Joyce tu. Akiwa shuleni akakutana na Joyce kwa aibu aliyokuwa nayo akaishia kuinamisha kichwa Kama hajamuona. "unadharau wewe" Hiyo siku Wadhati alimutazama Joyce kwa macho ya kuibia ibia alikosa furaha huku akiwa kagubwikwa na wimbi la huba na mshawasha wa mapenzi. Hata marafiki zake waligundua mwenzao hakuwa sawa hiyo siku.
Baada ya kipindi cha mathe, Joyce alishangaa sana, "Mbona leo wadhati hajaenda kufanya swali ubao Wala kujibu swali lolote tofauti na tulivomzoea au nimemuudhi nilipo mwambia anadharau?. Mmh sa itakuwaje?!
Wadhati alikuwa akipendelea kukaa Baka Bencha. Joyce vile anageuka tu kumtazama wakakutanisha "Mamaa Jesuuu" Akageuka haraka haraka huku mapigo ya moyo yakimuenda mbio, Hee,.. alishangaa kukuta Wadhati akimtazama Sana tena asie na raha. "Mh leo nimeyakanyaga Kama stazibuliwa makofi hapa leo mh cjui" Akageuka tena kumtazama "Oh my God ndo kwanza kaongeza najicho la tatu" Joyce akatoka nje.
Hiyo siku ikapita Joyce nae akajikuta akizama katika wimbi kubwa la mawazo akiwa hata hajui afanye nini. "Wadhati so kawaida yake Ni mpole sana na hanaga pigo hizo darasani lakini kwa nini sasa hivi ananiangalia sana? Why? Huku akilia na kutokwa machozi anampango gani na mimi? Ananiwazia Nini huyu kiumbe jamani? Alishindwa kuvumilia ile Hali ikabidi amutafte rafiki yake Salay, akamueleza hali nzima juu ya tatizo lake. Salay alimcheka Sana. "Acha ushamba, upo dunia ya ngani mwana? dogo kaishaoza kwako kitaambo". Sijakuelewa dada salay unamaanisha Nini? we fala kweli, dogo akakupenda sema nini,. muoneshe mafundi ujenzi walipo mwamba Domo zege huyo"
"Heh! Makubwa shoga angu madogo yanaunafuu tobaa! ndo hayo tena, Ila Ha wapi! Shoga angu wakupendwa niwe mimi? Ni mawazo yake tu ndiyo yanamsumbua. "Nakwambiaje, Basi subiri yamfike shingoni, utakuta kaning'inia mtini na kamba shingoni Mapenzi konyo! atakufata live and direct mapenzi uchizi" Mh haya sawa ngoja niwe mpole misubiri kuzika moyo wa mtu, maana Kama ndo kuoza huko tosha mpaka maini."Ahahahaa utaniua jamani kwa vituko vyako". Haya byee, mie nirudi Muda huu mama amekaribia kurudi asipo nikuta nikizaazaa.
****
"Wadhati Ni boy mzuri, kwanza mpole, asie na makuu na mtu, harafu anahakili Sana darasani, nikimkubalia tu atakuwa ananisaidia maswali ya Mathe,. Navile ameshajionyesha ananipenda ntafanya chochote kile Hadi nimunase"
Ilikuwa Ni siku ya tano sasa Wadhati kila akimtizama Joyce anapata kimuhemuhe., Nae Joyce kwa kuwa tayari ameshagundua anapendwa na giniazi wa darasa akaongeza mapozi ya kichokozi ili tu, amunase kiurainiii, alivoona haitoshi akaanza kujipitisha pitisha mbele yake. Wadhati alimtazama kwa jicho la woga huku akiishia kuangalia pembeni kwa aibu akiwa hata hajui aanze vipi kurusha mistari. Wadhati alikuwa akiyakumbuka yote akiwa anakula, baada ya kupata chakula alichukua ndoo na kuendea maji kisimani Kama kawaida yake Kisha akaoga vizuri akaingia mezani kujisomea.
****
Saa kumi na mbili jioni Juria na Cheichei wanarejea kutoka msituni kuchanja kuni. Marandola nae anarejea kutoka vibaruani kwake Kama kawaida, akapokelewa vifaa vyake vya ujenzi na Wakamba." Wakambaaaa hebu angalia kwenye huo mfuko mweusi Kuna samaki humo" huku akiingia ndani. Wadhati akawaanda vizuri wale samaki Kisha akamusaidia mama yake kuwa pika pamoja na chakula Cha jioni. Marandola tayari alikuwa ameshaenda misele Kama kawaida yake, ilikuwa Ni marachache Sana kula nae chakula Cha jioni.
Baada ya chakula Wadhati akawasaidia wadogo zake Home work walizopewa shuleni, Kisha nae akaingia chumbani mwake kujisomea. Saa sita kamili usiku Wadhati akiwa tayari amemaliza ratiba yake ya kujisomea, akaanza kuwaza jinsi gani atakavyo muelezea Joyce hisia zake hadi amuelewe."Dah, naona aibu kumfata ana kwa ana na sijui tu kwanza naanzaje kumwambia kwanza sijui na sijawahi fanya hata siku moja". Wadhati akafikria Kisha akapata jibu. "Eeh Okei.. nimepata jibu ngoja nimwandikie barua nikaiweke kwenye madaftari yake" baada ya kumaliza kuandika akaikunja vizuri Kisha akaenda kulala. Asubuhi na mapema palivokucha Kama kawaida yake akafagia uwanja Kisha aka wahi shule akiwa na ile barua mfukoni. Alipo maliza kuhesabu namba akamtegeshea Joyce, alipoweka tu begi lake la madaftari na kwenda kufanya usafi. Wadhati akaingia chapu chapu Kisha akachukua daftari la samary Akaiweka ile barua katikati ya daftari Kisha akarudisha vizuri ndani ya begi Kisha nae akaenda kufanya usafi.
Jioni wakiwa tayari wameshatoka shule. Joyce akiwa yupo nyumbani, tayari ameshamaliza kazi zake zote, akaenda zake mezani kujisomea kama kawaida yake. Akachukua kitabu chake pamoja na ile samary "Ha! anashituka ghafla baada ya kuona karatasi nyeupe huku imekunjwa vizuri katikati ya daftari lake, what is this?! Mh au itakuwa Salay amejisahau Akaiweka humu ile karatasi tulikuwa tuna andikiwa jana" akaichukua na kuifungua taratibu ile karatasi alishangaa kukuta ni barua, akaifunika haraka haraka Kisha akatizama kulia na kushoto Kama hakuna mtu Kisha akakimbia nayo chumbani kwake hku mapigo ya moyo yakimuenda Kasi, akaanza kuisoma....