Download Chereads APP
Chereads App StoreGoogle Play
Chereads

Mashiro Kuna

The tale of the immortal Dark wolf

--- Chapter 1: The Ninja Dream (50 lines) The sky above the village burned orange with the sunset. A boy named Kairo crouched on a rooftop, pretending to be a ninja. His eyes followed the wind, his hands gripping wooden kunai. “Come on, Riku,” he whispered. “We can’t be late.” Riku, his best friend, clumsily climbed up behind him. “You really think we’ll be ninjas one day?” Riku asked. Kairo nodded without hesitation. “I know we will. I feel it in my blood.” They watched the secret training ground of the village ninja. Masked warriors leapt through fire and shadows like whispers. “We’ll get in one day,” Kairo said, fire in his eyes. Riku laughed. “We’ll be dead by then.” But Kairo wasn’t laughing. His heart pounded with a dream passed down from his mother. Before she died, she told him: “You have the soul of a wolf. Chase your purpose.” Kairo didn’t know what that meant—yet. He leapt down from the roof, fast and quiet. Riku followed, less graceful but loyal. They ran to the old dojo at the edge of the woods. No one trained there anymore. It was forbidden. “This is where we start,” Kairo said. They lit candles and bowed to invisible masters. “We train. Every day. Until we’re worthy.” Sweat, bruises, and laughter followed. Days became weeks. They mimicked the ninja they’d watched, Practicing flips, strikes, and silence. But something strange began happening. When Kairo concentrated, he felt energy in the air. It shimmered—cold and silver—like moonlight. And Riku? His shadow would stretch unnaturally long. One night, a wild storm struck. Lightning hit the dojo roof, but it didn’t burn. Instead, a scroll appeared where it struck. Old, sealed in black ribbon, glowing faintly. Kairo touched it—and saw visions: A wolf made of flame, running through darkness. A masked ninja standing over his fallen mother.
Charles_Oladosu · 1.9K Views

Tafadhali, Nipende(Please, Love me)

Kuwa na kila kitu kizuri kwenye maisha haimaanishi kuwa una furaha. Ed ni kijana mwenye mafanikio makubwa  akiwa na umri mdogo. Wengi waliyatamani maisha yake, na kwa sababu hiyo alikuwa ni role model kwa vijana wengi wenye ndoto ya kufanikiwa. Akiwa kijana mdogo alijiwekea malengo ya kutoyaleta mapenzi kabla ya wakati wake. Alitumia muda mwingi kuweka imara msingi wa biashara zilizomilikiwa na Simunge Group of Companies. Aliogopa kuyapa nafasi mapenzi wakati alikuwa na mengi ya kufanya. Hakutaka kuona akishindwa pande mbili LAKINI baada ya muda kwenda na kwa msisitizo kutoka kwa mama yake, Ed anaamua kujitosa kupenda, lakini hakujua ni kwa namna gani mapenzi yanaweza kukuchezesha kamari na ukabaki njia panda. Bila kujua yeye anapanga na wapo wanaopanga katika mipango yake. Martinez Kussah mfalme wa kupindua meza na kuyapanga matokeo anayotaka. Kabla Ed hajatweka ndoano yake kilindini kupata samaki, Martinez anamrushia samaki, Joselyn Martinez. Ajali ya kukutana uwanja wa ndege, inapelekea kuingia ndege moja. Haikuishia hapo, viti vinavyoambatana Business Class na mwisho hoteli moja. Coincidence? La hasha Mwanaume mmoja nyuma ya haya anahakikisha jambo lake lazima lifanikiwe. Baada ya Ed kufahamiana na Joselyn anaanza  taratibu kuyaonja mahusiano ya mapenzi, lakini haachi misimamo yake, na anaiweka wazi kwa huyu mpenzi wake. Hatojihusisha nae kimwili hadi atakapomtangaza kuwa mke wake, bila kujua kuwa Joselyn ni mlamba asali asiyeweza kuliacha sega. Ed anakuta amevunja kanuni ya kwanza, na kumbe nyuma ya haya mkono wa Joselyn ulihusika. Na kwa sababu he is a man of his word analazimika kuendelea na safari hii ya mapenzi. Wiki tatu kabla ya kumvalisha pete, anakutana na simple girl Aretha, mchoraji. Picha ya binti huyu inakamata ubongo wa Ed, anaanza kuona kiza katika maamuzi yake. Anapojaribu kuwa karibu naye, kumbe kuna makundi mawili ya watu yanamsogelea huyu binti. Wale wanaotaka kumtumia kubadilisha maamuzi ya Ed na wengine wanataka kumuondoa mbali na Ed. Sasa maisha ya Aretha yanakuwa hatarini zaidi ikiwa yuko on the badside ya Martinez.  Kabla ya haya makundi kupenyeza agenda zao, kundi la tatu lililo hatari zaidi linaibuka. Ed yuko njia panda ya kupambania moyo wake au misimamo yake, biashara au maisha yake. Amuokoe Aretha au aendelee na Joselyn. Let's wait as chapters unveil the desires of Edrian heart.
Evelyne_Buc · 311.7K Views
Related Topics
More