Download Chereads APP
Chereads App StoreGoogle Play
Chereads

Hiki

MALAIKA WA UPENDO

Hapo mwanzo Mungu aliumba ulimwengu, akaumba mimea, wanyama, mito, mabonde akavibariki. Akamuumba mwanadamu kwa mfano na sura yake, aliwaumba mwanamke na mwanaume. Mungu akawabariki na kuwaambia "Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki" Mwanzo 1: 1 - 28. Katika amri ya kuujaza ulimwengu, Akamuumba malaika, Malaika wa Upendo. Yeye akaweka hisia ndani ya wanadamu, jukumu amepewa na mwenyezi Mungu. Malaika wa Upendo akawa ndiye kiongozi na msimamizi mkuu aliyepewa jukumu la kuhakikisha kila mmoja anampata amsitahilie, ili kulitimiza agizo la mwenyezi Mungu, "Zaeni muongezeke mkaijaze nchi na kuimiliki," Mwanzo 1: 1- 28. Hii Ni wazi kwamba, awali kabla hujampata akustahilie, utapitia misuko suko na changamoto nyingi za ujana, hasa pindi upambanapo kumupata akupendaye / umupendaye. Hivyo usipokuwa makini, utajikuta ukiingia kwenye mahusiano na mtu asiye wako. Na hapo utalipata jibu Ni kwanini..? Robo tatu ya wasanii wanaimba mapenzi. Hivyo Kama kijana, kwa Imani yako, fanya Dua na Sala ili Malaika huyu wa Upendo, aweze kukuongoza na kukuonyesha, Alie chaguo lako sahihi maana ndiye aliyepewa jukumu hilo na Muumba wetu. La hasha.!, Usipoweza kuwa mvumilivu na kuzishinda tamaa, ukaamua kufanya maamuzi yako binafsi, pasipo kumshirikisha Malaika huyu wa upendo, utajikuta ukiingia kwenye mahusiano na mtu asiye sahihi Yani asiye chaguo lako. Hapo tarajia dhambi ya uzinzi, kutendwa, Na maumivu makali moyoni mwako, havita hepa, maisha yako yote, maana umejitwika gunia la misuri, ungali umenyoa kipara. Fatilia kisa hiki Cha MALAIKA WA UPENDO upate kujifunza, chaguo sahihi pasipo Makosa.....
Salvatory · 24.9K Views

Tomatoes In May

“Aoi! Aoi!” Yunho says as he holds his son in his lap with excitement. The three old giggles as he claps his chubby hands together as he stands with his chubby legs on his father's lap looking at the huge flat-screen television. “You see momma!” Yunho says as he holds his son upon his lap as they are in the backroom of the stadium watching Jaejoong perform. Fumikomu ze akuseru Kake hiki wa nai sa sou da yo Yoru wo nukeru Nejikomu sa saigo ni Sashihiki zero sa, sou da yo Hibi wo kezuru Kokoro wo sotto hiraite Gyutto hiki yosetara Todoku yo kitto tsutau yo motto Saa Yunho grins at his son’s excitement and he then looks at the television and he closes his eyes for a bit as the grin never leaves his face. “Look at my pooch shine,” Yunho says under his breath as he removes Haru from his lap and sits the child next to him. Iki isoide shiboritotte Motsureru ashi dakedo mae yori Zutto sou, tooku e Ubaitotte tsukandatte Kimi ja nai nara Imi wa nai no sa Dakara motto... haruka kanata “Let’s go see momma backstage, Aoi,” Yunho says standing up and Aoi shakes his head with excitement and he jumps off the couch. Yunho puts on a pair of black sunglasses and he then grabs one of Aoi’s hands and leads him out of the backroom. They then start walking down an empty long hallway quietly as they make their way to the backstage area. Yunho walks with his eyes closed one hand holding Aoi’s and the other in his black fitted pants pocket. Yunho keeping his eyes closed hears another pair of steps other than his own and Aoi’s walking towards. Yunho slowly opens his eyes to see Changmin walking towards them with his lead guitar around his back and his hands stuffed into his pants pockets. Yunho smirks and he closes his eyes and continues to walk, and it was like time had stopped in slow motion as they passed each other. Changmin opened his eyes just a bit and he glanced at the child that Yunho is holding hands with.  A small frown graced itself upon Changmin’s face as he gazed at the child making Yunho smirk even further. Yunho then stops and Aoi looks at his father with confusion as to why they had stopped walking. Yunho then crouches down and he whispers something in Aoi’s ear and the child smiles as he runs ahead. Yunho then turned to fully look at Changmin and he slowly takes off his sunglasses to reveal his sharp hazel eyes. “Mhm, I see you recognized in knowing your place,” Yunho says under his breath making Changmin frown deep on his face. “You don’t love him- “Changmin starts but Yunho interrupts him. “And you do?” Yunho says with a light chuckle. “more like someone to please you the most,” Yunho says looking at Changmin with sharp eyes. “And like you didn’t do that as well. You don’t love Jaejoong you just want him around for your fucking ego…You only love yourself.” Changmin says with matching sharp eyes. Yunho shrugs his shoulders. “That’s funny because it sounds like you are describing yourself.” “You bastard,” Changmin says under his breath lowly. Yunho shrugs his shoulders again. “Call me what you want to cause in the end he came to me.” Says Yunho and with that he puts his sunglasses on and turns. “Ah, also you see whose's genes are the strongest,” Yunho says smirking as he knows he done hit a nerve in Changmin, and he starts walking away.
Onx · 8.4K Views

Health and wellness

MADHARA YA VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO Vidonge vya Uzazi wa Mpango, ni moja ya njia inayopendekezwa na Wataalamu wa Mpango wa Uzazi katika kuzuia mimba. Hata hivyo, vidonge hivyo Vinaweza kutimiza malengo hayo ya mpango huo ikiwa tu vitatumiwa vizuri na kwa usahihi, kwa sababu tafiti zilizopo, zinaonyesha kwamba asilimia nane (8%) ya wanawake hupata mimba zisitarajiwa kila mwaka, huku wakiwa katika mpango huo kutokana na baadhi yao kujisahau kumeza vidonge hivyo. Kwa mujibu wa tafiti hizo ambazo FikraPevu inazo, vidonge hivyo vya mpango wa uzazi vikitumiwa vizuri, kwa kuhakikisha muda wa matumizi yake unakuwa ule ule, ni mwanamke mmoja pekee kati ya 100 anayeweza kupata mimba isiyotarajiwa ndani ya mwaka wa kwanza wa matumizi ya dawa hizo. Hadi sasa kuna aina kuu mbili tu za vidonge vya uzazi vinavyotumiwa na wanawake katika wa mpango huo, ingawa aina zote hizo zina vichocheo (hormons). Aina hizo kitaalamu zinaitwa Estrogen na Progesteron. Estrogen ni aina ya kichocheo kinachotengenezwa na uterasi/ kizazi, kinachosaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi, kwa kuongoza ukuaji wa kuta za uterasi kwenye sehemu ya kwanza ya mzunguko wa hedhi. Kwa upande wake, Progesterone, hiki ni kichocheo cha kopasi luteamu ya ovari, kinachosaidia kuanzisha mabadiliko katika endometriumu baada ya ovulesheni. Ingawa katika aina hiyo mbili ya vidonge, kuna vingine vina kichocheo cha aina moja tu, kwa maana ya ama Estrogen au Progesterone, huku vingine vikiwa na vichocheo vyote viwili hivyo, lakini vidonge vyote hivyo ni salama, na vinafanya kazi kwa kufanya ute mzito kwenye shingo ya mji wa mimba na kuzuia kupevuka kwa yai, hivyo kuzuia mimba kwa kiwango cha asilimia 99. Vidonge vya uzazi wa mpango vinaweza pia kutumika kama tiba ya kuweka sawa mzunguko wa hedhi, kuzuia maumivu makali wakati wa hedhi, kutibu chunusi pamoja na kupunguzamaambukizi ya magonjwa ya zinaa.
DaoistKHDcJO · 4.5K Views
Related Topics
More